(UTANI KIDOGO)
Bolo young,Marlboro na Govinda kumbe ni ndugu!
Bolo Yeung.
Marlboro
Govinda
14 Aug 2013
8 Aug 2013
7 Aug 2013
Ujio wa Msanii wa vichekesho Mau fundi Katika Tasnia ya Muziki wa Kizazi kipya.
Msanii wa siku nyingi katika tasnia ya Comedy nchini Tanzani,Maulid Ali maarufu kama Mau Fundi nae amejikita katika muziki wa kizazi kipya 'Bongo flava'.Akiwa ndo kaachia wimbo wake wa kwanza chini ya FAMONGA ENTERTAINMENT,unaokwenda kwa jina la ANAPENDA ambao amemshirikisha msanii nguri katika miondoko ya Mduara.AT,unaonekana kupata nafasi katika masikio ya watu na kuwa gumzo sehemu mbali mbali nchini,kwa sasa anajiandaa kufanya Video ya wimbo huo sambamba na kusambaza Audio ya wimbo huo katika Media maana ameanza kuusambaza katika mitandao tu.
Subscribe to:
Posts (Atom)